Burudani
Kaka wa Nicki Minaj hatarini kwenda jela miaka 25
Kaka wa rapper Nicki Minaj, Jelani Maraj amekutwa na hatia ya kumnyanyasa kingono mtoto wa miaka 11.
Picha ya Nicki Minaj akiwa na kaka yake Jelani Maraj
Jelana (38) alishtakiwa katika kesi hiyo ya unyanyasaji huo kwa mtoto aliyefahamika kwa jina la Long Island.
Kesi hiyo ilidumu kwa takribani wiki tatu mahakamani hukumu yake inatarajiwa kutoka Alhamisi ya Disemba 14 mwaka huu.
Kwa mujibu wa Mwanasheria Madeline Singas kutoka Nassau amesema Jelana anauwezekano wa kukumbana na hukumu ya kifungo cha miaka 25 jela.