Burudani

Kala Jeremiah aweka wazi siku atakayoachia ngoma mpya

Je unahamu ya kusikia ngoma mpya kutoka kwa Kala Jeremiah?

Baada ya kupita kwa takribani mwaka mmoja na miezi miwili bila ya kusikia ngoma mpya kutoka kwa msanii huyo, mwenyewe amethibitisha kuwa Jumanne ya Oktoba 10 ataachia wimbo wake uitwao ‘Kijana’ ambao amemshirikisha Fetty Kalumba.

Wimbo huo umetayarishwa na producer Zest. Kupitia mtandao wa Instagram Kala ameweka kava ya wimbo huo mpya anaotarajia kuuachia na kuandika, “TAREHE 10-10-2017 KWENYE REDIO YAKO NA TV YAKO WOTE MNAKARIBISHWA. #KIJANA @kijana_0444 @fettykalumbu.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents