Burudani
Kala Jeremiah: Ubunge sifikirii, natamani kuwa Rais, na Mwana FA na Sugu watakuwa mawaziri wangu (Video)
Msanii wa muziki wa hip hop Kala Jeremiah amedai anaamini akipata nafasi ya kuwa Rais ataweza kufanya vitu vingi kwaajili ya jamii tofauti na nafasi ya Ubunge.
Pia rapa huyo amedai kama angepata nafasi hiyo basi Roma Mkatoliki, Professor Jay pamoja na Mwana FA watakuwa mawaziri wake.