Technology

Kama wewe ni mtumiaji wa iPhone, Taarifa hii isikupite

Kwa watumiaji wa iPhone na wale wenye lengo la kununua simu hizo, Kesho Septemba 10, 2019  kampuni ya Apple Inc. Inatarajia kufanya mkutano wao wa kila mwaka utakaoambatana na uzinduzi wa matoleo mapya ya simu za iPhone 11.

Matoleo hayo ni iPhone 11, 11 Pro na 11 MAX na 11R, Na imeelezwa kuwa matoleo yote yameboreshwa zaidi kwenye kamera na ukubwa wa ndani.

Hata hivyo, Bei na sifa nyingine za matoleo hayo zitatangazwa kesho kwenye mkutano huo. Ila tetesi zilizopo bei ya juu itakuwa ni dola $1449 sawa na Tsh Milioni 3.3 .

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents