Burudani
Kamanda Mambosasa afunguka kukamatwa kwa Soudy Brown na Maua Sama (Audio)
Polisi inamshikiria mtangazaji Soudy Brown na mwanamuziki a kwa kosa la uharibifu wa mali. Inadaiwa wameonekana mtandaoni wakirusha hela na kuzikanyaga. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar, Mambosasa amefunguka kuzungumzia sakata hilo.