Siasa
Kamati kuu ya CHADEMA kutoa mapendekezo yao leo, juu ya mgombea Urais kabla ya kuwasilishwa baraza kuu kesho
Leo Agosti 2, 2020 Kamati kuu ya CHADEMA inakaa kikao ukumbi wa Mlimani City kwa ajili ya kutoa mapendekezo yao kutokana na utafiti waliofanya wa wagombea kwa upande wa Urais wa Tanzania Bara na Zanzibar na kuyawasilisha katika kikao cha Baraza kuu kitakachofanyika kesho.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA. pic.twitter.com/4oE6mLLucs
— CHADEMA Tanzania (@ChademaTz) August 1, 2020
https://www.youtube.com/watch?v=sAf2qQQ-MUQ&t=4s
https://www.youtube.com/watch?v=JpYgBQG5BTw
https://www.youtube.com/watch?v=6qT99g_LHWM&t=6s
https://www.youtube.com/watch?v=RGqrlHKzNYE&t=1s
https://www.youtube.com/watch?v=oPAIlv4hTOc
https://www.youtube.com/watch?v=EQJoJtuFULI