Habari

Kamati ya uchunguzi yabaini uozo Airtel (+Video)

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango leo, amewasilisha taarifa ya Kamati aliyoiunda kuchunguza umiliki wa kampuni ya Airtel kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.Ambapo mpaka sasa Kamati hiyo imebaini uozo uliokuwa unafanywa na kampuni hiyo: Tazama video hii Dkt. Philip akitoa ufafanuzi.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents