Habari
Kamati ya uchunguzi yabaini uozo Airtel (+Video)
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango leo, amewasilisha taarifa ya Kamati aliyoiunda kuchunguza umiliki wa kampuni ya Airtel kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.Ambapo mpaka sasa Kamati hiyo imebaini uozo uliokuwa unafanywa na kampuni hiyo: Tazama video hii Dkt. Philip akitoa ufafanuzi.