Technology

Kampuni ya Apple watimiza miaka 10 ya bidhaa zao na kuzindua iPhone X

Kampuni ya vifaa vya kieletrinia ya Apple imesherekea miaka kumi ya kuwepo wa bidhaa zao, na wameweza kuzindua simu za iPhone 8, iPhone 8 Plus pamoja na iPhone X.

Kwa upande wa iPhone X hii inakadiriwa kuuzwa kuanzia kiasi cha dola 999, na zitaanza kuuzwa rasmi mwezi Novemba 3 mwaka huu ila unaweza kufanya manunuzi ya wali  kuanzia Oktoba 27.

iPhone X itapatikana kwa rangi ya gray na silver pia itakuwa na kioo kipya kijulikanacho kama Apple calls a Super Retina chenye ukubwa wa inchi 5.8- na saizi ya 2,436-by-1,135. Hii ndio simu ya kwanza ya kutoka  ya iphone pekee kutokuwa na kitufe cha nyumbani na unaweza kufungua kwa kuitazama.

 

 

Kwa upande wa kamera iphone X ipo vizuri kama iPhone 8 Plus yenye kamera mbili na ila megapixel 12 nyuma na kwa mbele ila megapixel 7.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents