Mitindo
Kanye West kuja na mavazi ya shule
Rapper Kanye West sio tu kwenye muziki na mavazi ya kawaida, bali tuegemee kumuona katika ubunifu wa sare za shule.
Boss huyo wa Yeezy, anaendelea kutikisa katika ulimwengu wa mitindo, hivyo tutarajie kumuona katika ubunifu wa sare za shule za sekondari. Mr West hato buni sare za shule za kizamani, na ameamua kufikisha wazo hilo la kutengeneza nguo za michezo kwa kuchagua shule moja ambayo ni Calabasas High School, California- Marekani.
Hata hivyo sare hizo hazijaanza kutumika katika shule, ila washauri wa masula ya mitindo wamemuonya kuto tengeneza sare hizo kama nguo za mkewe Kim Kardashiani au za kuvaa katika show za wanamuziki kama Justin Bieber na Drake.
Na Laila Sued