Burudani

Kanye West na Kim Kardashian kurudia viapo vya ndoa May 24 kwenye mnara wa Eiffel, Paris

Walisema ndoa yao haitodumu, lakini Kanye West na Kim Kardashian wamewaprove wrong waombea mabaya.

2853982E00000578-3079961-He_likes_to_go_big_Kanye_is_planning_something_extravagant_for_t-m-15_1431526322937

May 24, wawili hao watatimiza mwaka mmoja wa ndoa iliyofungwa nchini Italia. Na katika kusherehekea mwaka mmoja wa ndoa, wawili hao wanatarajia kurudia tena viapo vyao.

Dr. Kanye West, 37 na Kim, 34 watafanyia shughuli hiyo kwenye mnara maarufu wa Eiffel jijini Paris, kwa mujibu wa UsWeekly.

eiffel-tower-images-1
Mnara wa Eiffel

Kanye anadaiwa kupanga kufanya kitu kikubwa kwaajili yao. Rapper huyo atakodi mnara huo ambako familia yao itawasaidia kusherehekea.

288C438F00000578-3079961-image-m-12_1431526136449
North West, mtoto wao wa pekee

Mama yake Kim, Kris Jenner, 59 na dada zake, Kourtney, 36, Khloe, 30, Kendall Jenner, 19 na Kylie, 17 watakuwepo.

Pia kamera za Keeping Up With The Kardashians nazo zitakuwepo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents