Habari

Kauli ya Wema Sepetu kwa Mhe. Lissu, ‘Tunamiss harakati zako’

Baada ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kupigwa risasi Septemba 7 mwaka huu eneo la ‘area D’ Dodoma na watu wasiojulikana, Malikia wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu amesema anakumbuka harakati za mbunge huyo.

Wema kupitia mtandano wake Instagram ameeleza kuwa Watanzania wote wanaimani kubwa kwamba atarudi na nguvu mpya zaidi ya aliyokuwa nayo.

We still Cant wait for You to get up on your feet… Our Hero… Our True Leader… And By his Grace You will Be Up once Again… We sure do miss you… Tunakumiss sana… Tunamiss Harakati zako, na hata pale ulipokuwa unaonewa na tukisononeka pamoja na wewe… Basi watanzania wote tuna imani kubwa kwamba u will come back Powerful than you have ever been because What doesn’t kill u, Only makes you Stronger… You are in our Prayers… We love you… May God Keep His Close watch upon You… Amen…!!??????

Lissu alipelekwa Nairobi katika hospitali ya Aghakhan ambapo hadi sasa anapopatiwa matibabu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents