Michezo

Kaze apewa miaka miwili Jangwani

Miamba ya soka nchini, Mabingwa wa Kihistoria Ligi Kuu Tanzania Bara, timu ya Wananchi Yanga SC imetangaza rasmi kumpa kandarasi ya miaka miwili kocha wao mpya Cedric Kaze.

”Uongozi wa klabu yetu ya Young Africans SC leo tumemtambulisha rasmi Kocha wetu mkuu Cedric Kaze, amesaini mkataba wa miaka miwili utakaomfanya awatumikie Wananchi hadi 2020/22. Karibu sana Jangwani, Karibu timu ya Wananchi.”- Yanga SC

https://www.instagram.com/p/CGZoYdBnCs8/

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents