Habari
KENYA: Watu wahofiwa kunasa kwenye kifusi baada ya jengo la ghorofa sita kuporomoka – Video
KENYA: Watu wahofiwa kunasa kwenye kifusi baada ya jengo la ghorofa sita kuporomoka - Video
Ripoti nchini Kenya zinasema kuwa jengo la ghorofa sita limeanguka asubuhi ya leo katika eneo la Embakasi jijini Nairobi, huku watu kadhaa wakihofiwa kunaswa chini ya kifusi cha jengo hilo.
Shughuli za uokoaji zinaendelea. Ripoti zinasema watu kadhaa wameokolewa na kukimbizwa hospitalini kwa ajili ya matibabu.
Taarifa zaidi kukujia hivi punde.