Kesha kama CNN
Waumini wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship bado wanaendelea kupiga kambi usiku na mchana kwenye kanisa lao maeneo ya Sinza kwa kupokezana zamu kupinga hatua ya TANESCO kupitisha umeme kwenye kanisa hilo
Hata hivyo, waumini hao waligoma kuongea na mwandishi wa Bongo5 na kusema msemaji wa swala hilo ni Askofu Kakobe peke yake