Kesha kama CNN

Image
Waumini wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship bado wanaendelea kupiga kambi usiku na mchana kwenye kanisa lao maeneo ya Sinza kwa kupokezana zamu kupinga hatua ya TANESCO kupitisha umeme kwenye kanisa hilo

Image
Hata hivyo, waumini hao waligoma kuongea na mwandishi wa Bongo5 na kusema msemaji wa swala hilo ni Askofu Kakobe peke yake

 


Image

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents