Habari

Kesi ya Kabendera kusomwa tena Februari 10

Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili mwandishi wa habari za kiuchunguzi, Erick Kabendera imeahirishwa hadi Februari 10, baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa upelelezi bado haujakamilika

Wakili wa Jamhuri Gloria Mwenda alidai kuwa mchakato wa mshitakiwa huyo anayedaiwa pia kutakatisha zaidi ya Tsh.Milioni 173,kukiri makosa yake kwa DPP bado unaendelea

Na Jacquiline Ngoya

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents