Burudani

Kesi ya Kanye West kumshambulia paparazzi yafutwa!

Kanye West na paparazzi aliyemshambulia wamemaliza tofauti zao kwa kumuomba msamaha na kushikana mikono.

Street Style - Paris Collections: WOMEN AW15 - March 03 To March11, 2015

West alishtakiwa na Daniel Ramos baada ya mwaka 2013 kumshambulia wakati akiwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Los Angeles na kesi hiyo ilikuwa isikilizwe wiki ijayo.

Wakili wa Ramos, Gloria Allred aliandika maelezo jana Jumanne kuwa kesi hiyo imemalizika na kwamba Kanye alimuomba msamaha mteja wake.

Allred alituma picha ya West, akitabasamu wakati akishikana mkono na Ramos.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents