Burudani

Kesi ya kumdunda Rihanna yamsababisha Chris Brown aahirishe ziara yake

Pamoja na kupita miaka sita tangu Chris Brown ashtakiwe kwa kosa la kumpiga Rihanna, bado kesi hiyo imeendelea kumgharimu muimbaji huyo wa ‘Loyal’

ch

Chris amelazimika kuahirisha ziara yake ya muziki iliyopewa jina ‘Between The Sheets’ iliyokuwa ianze Jumanne hii ili kumalizia saa 100 zilizosalia kwenye adhabu aliyopewa ya kufanya kazi za kijamii kwa saa 1,000.

Hakimu anayesimamia kesi hiyo aligoma kumpa ruhusa Chris ili afanye ziara hiyo aliyokuwa aungane na Trey Songz kwa ombi kuwa atamalizia adhabu yake.

Kupitia Instagram, Chris ameandika:

“I would first like to apologize to all the fans and people who have been supporters of me and all the music over the years. The beginning of the BTS tour has been moved to later dates now. The judge would not sign off on my travel to do the tour until I finish these last 100 hours of community service. I promise that I am busting my ass doing it everyday until it’s complete.

This is the most disappointing news I’ve gotten in a while.

Everything happens for a reason so I wanted to personally inform my fans. The show must go on. Out of 1000 hours I only have 100 left. I will work my ass off to complete it and I will be on that stage. Once again I’m sorry for the delay. I love yall! We will let yall know the dates that are changed. It’s not cancelled. Just moved around a couple weeks.”– @chrisbrownofficial

Related Articles

Leave a Reply

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents