Burudani
Kevin Hart na mkewe Eniko wamefanikiwa kupata mtoto wao wa kwanza
Mchekeshaji kutoka Marekani Kevin Hart amefanikiwa kupata mtoto wake wa kwanza tangu alipofunga ndoa na Eniko mnamo mwaka jana.
Hart ametoa taarifa ya kupata mtoto huyo watatu aitwaye Kenzo ,kupitia mtando wa kijamii wa Twitter huku akidai mtoto huyo yuko poa pamoja na mama yake.
God is truly amazing….Kenzo Kash Hart was born at 1:45am ….He is Healthy & already smiling. Thank you all for your prayers!!!! We love & appreciate ya #Harts
— Kevin Hart (@KevinHart4real) November 21, 2017
Kevin alinusurika kupigwa kibuti baada ya kubainika kumsaliti mkewe miezi kadhaa ilipita na mchekeshaji huyo alikiri kufanya kosa hilo huku akiahidi kuto rudia. Awali Hart alikuwa na wawili aliyozaa na mkewe wa zamani Torrei.