Burudani

Keyshia Cole audiss wimbo mpya wa Beyonce ‘Bow Down’

Ni wiki kadhaa tu zimepita tangu Keyshia Cole amdiss Michelle Williams kwenye performance yake na Destiny’s Child kwenye super bowl na sasa mdomo wake unataka kumuingiza tena matatani kwa kuudiss wimbo mpya wa Beyoncé, Bow Down.

Cole na Bey

“Can’t stand when people all self righteous when it’s convenient it makes them look good. Lmao! But can still talk shit when convenient 2 FOH,” alitweet Keyshia, jana ambaye baadaye aligeuka gumzo kwa kauli hiyo.

Baada ya jana Beyoncé kuachia wimbo huo uliotengenezwa na Hit-Boy, alitweet, “This my shit, bow down, bitches”

Hata hivyo Keyshia aliona wimbo huo kama una kasoro ukizingatia ujumbe wa mwanzo wa Bey kuwa wanawake wanatakiwa kuwa na umoja.

“First ‘Women need to Stick together’ now bitches better Bow. Smh,” aliandika. “But it’s all G! Chicks stay shooting the shit. But when I speak my mind it’s a prob. #Well #StayMad.”

Baada ya mtu mmoja kumtuhumu kwa ana chuki binafsi, Keyshia alijibu, “How am i hating? no Mamm or sir. whatever u may be. No H8.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents