Bongo Movie

Khadija Kopa adai ngono ni moja kati ya vitu vinavyo wazeesha wasichana wengi

Malkia wa mipasho Khadija Kopa amefunguka kwa kusema kuwa ngono ni moja kati ya vitu ambavyo vinawazeesha wasichana wengi.
dOMOND-ii

Akiongea katika kipindi cha Ulimwengu wa Filamu kinachoruka TBC 1 Jumamosi hii, Khadija Kopa amesema yeye hazeeki kwa sababu siyo mtu wakuendekeza maswala ya ngono.

“Mimi najitunza sana ndo maana kila siku naonekana bado mbichi,” alisema Khadija. “Unajua wasichana wengi wanaendeleza maswala ngono, ngono inazeesha sana, haya makrimu ndo usiseme, ukiweza kukaa nayo mbali basi kila siku utaonekana mbichi,”

Katika hatua nyingine, muimbaji huyo amewataka mashabiki wake wa muziki kusubiria kazi mpya ambazo ataziachia hivi karibuni.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents