[youtube]http://www.youtube.com/watch?v=nz-LZK2d934[/youtube]
Mwanamuziki Khadija Omari Kopa yupo katika mikakati ya kuanzisha taasisi ambayo itakuwa ikisaidia kukuza vipaji vya watoto yatima na waishio katika mazingira magumu. Kopa alisema taasisi hiyo anatarajia kuifungua Bagamoyo na tayari ameshaanza kununua vifaa na kuongea na wataalam juu ya kusaidia kutoa elimu na mafunzo mbalimbali.
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Wasukuma tunapenda wanawake weupe, mahari yake Ng’ombe 50 ila wanawake weusi Ng’ombe 10 – Nyanda
December 23, 2023 - 11:31 pm
Sijasoma wazazi wangu waliniambia nichunge Ng’ombe, kwetu tupo 9 ila wawili wamesoma – Nyanda
December 23, 2023 - 11:27 pm
Check Also
Close
-
Fahamu: Bustani ya Maajabu jijini DubaiDecember 25, 2020 - 10:29 pm
-
Sababu tatu za kuchagua kusafiri na Emirates msimu huuDecember 24, 2020 - 7:52 am