Burudani
Kidato cha nne wamalizia mtihani Maisha Club
Mwanamuziki Aslay jana katika ukimbi wa New Maisha Club, alipanda jukwaani lakini alisema hakuwa sawa na ndiyo maana hakuweza kutoa burudani ambayo watu wamekuwa wakiizoea kutoka kwake. Usiku huo ambao wanafunzi walikuwa wakifurahia kumaliza mtihani wa kidato cha nne, uliofanyika mwezi huu.
Jukwaa lilipambwa na wasanii Ali Kiba, Abdu Kiba, Dogo Aslay, Tox na wasanii wengine wa kidato cha nne.
Wasanii wa kidato cha nne, wakiwa wametulia baada ya kushuka jukwaani
Ali Kiba na Abdul Kiba wakisaidiana kulitikisa jukwaa
Tox akiwa na Ali Kiba katika wimbo wa Sex Lady
Dogo Aslay akiimba huku akiwa amepooza kidogo…
Dogo aslay akitunzwa….