Kids Care waingia Studio
Kiongozi na kundi la Tmk Wanaume na kikundi cha Mkubwa na Wanawe Saidi Fela ‘Mkubwa Fella’ amesema kwa sasa anawasaidia watoto yatima kutoka katika kituo cha Kids Care kilichopo Bagamoyo kukamilisha albamu yao ya kwanza.
Kikundi hicho kina watoto zaidi ya Ishirini, kikiwa na makazi yao Kalage huko Bagamoyo, kinajihusha zaidi na kazi za kisanaa za kuimba nyimbo za Injiri za watoto na nyimbo za asili iilikufikisha ujumbe wao kwa jamii. Mafunzo yao ya nyimbo hizo zinatolewa chini ya mwalimu wao Chambuso na kiongozi wao Diana.
Watoto hao tayari walishatoa nyimbo moja iliyoitwa Jambo, lakini kwa sasa wanajiandaa kunja na albamu yenye nyimbo tano, mbili zikiwa za Injiri na tatu za watoto
Kati ya watoto wote hawa ndiyo waimbaji wakuu wa nyimbo za Injiri
Diana Alex, akiingiza sauti yake katika wimbo wao mpya.
Mpigagitaa wa Poteza Record, inayomilikiwa na Mkubwa Fella na mwimbaji wa Bendi ya Mkubwa na Wanawe
Msanii Abdaham Julius akiiingiza sauti yake.