Habari

Kifo cha kwanza cha mgonjwa wa Corona Tanzania

Taarifa ya Waziri wa Afya Ummy Mwalimu @ummymwalimu “Ninasikitika kutangaza kifo cha kwanza cha mgonjwa wa corona Tanzania kilichotokea alfajiri ya leo March 31, katika kituo cha matibabu ya wagonjwa wa corona kilichopo Mloganzila DSM, Marehemu ni Mtanzania, Mwanaume mwenye miaka 49, ambaye alikuwa pia akisumbuliwa na maradhi mengine”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents