Habari

kijana mmoja akomeshwa na Sugar mummy wake

Mwanamke mmoja ambaye ni mfanya biashara mwenye umri wa miaka 54 anayejulikana kama Maggie, kampiga mpenzi wake mwenye umri wa miaka 26 kwa kumdanganya.

Kwa mujibu wa ripoti, Maggie alimpiga mpenzi wake baada ya kumfumania akifanya mapenzi na msichana katika gari lake huko jijini Lusaka, Zambia.
Mwanamke huyo inaonyesha alikasirika na kuamua kuchukua sheria mikononi mwake na kumpiga kijana huyo kama mtoto mdogo, akimhukumu kwa kosa la kuchezea moyo wake.

Na Raheem Rajuu

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents