Burudani

Kim Kardashian afikiria kuongeza mtoto wa tatu

Kim Kardashian anafikiria kuwapa North na Saint West mdogo wao. Ndio, staa huyo wa Keeping Up With The Kardashians na mke wa rapper Kanye West, ana mpango wa kuongeza mtoto wa tatu.

Kwenye episode mpya ya kipindi chao cha TV, mrembo huyo ameonesha nia ya kuendelea kuipanua familia yake licha ya ujauzito uliopita kumletea shida. Kupitia kipande kifupi cha video toka kwenye episode mpya, Kim anasikika akisema, “I’m going to try to have one more baby.”

Hata hivyo Kim amedai kuwa madaktari wake wamemshauri kutofikiria kupata mtoto mwingine kwa sasa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents