Burudani

Kim Kardashian aitembelea Ivory Coast

Kim+Kardashian+Kim+Kardashian+Airport+sd9kJPVgG_7l

Mwaka huu mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan umekuwa na bahati ya kutembelewa na mastaa wa Marekani ambapo mwanzoni kabisa mwa mwezi huu Chris Brown na Rihanna walikuwa huko kuhudhuria tuzo za Kora. Na sasa mrembo anayezungumzwa zaidi kwenye internet, Kim Kardashian ameenda kutalii kwenye mji huo. Kim alithibitisha taarifa hiyo kupitia Twitter kwa kuandika:

kim africa

Amekwenda huko kwenye hafla ya uzinduzi wa simcard ya Ma Life ya mtandao wa simu wa Orange itakayofanyika leo jioni.

Kabla ya kwenda nchini humo Kim na mpenzi wake Kanye West ambao hivi karibuni walitangaza kutarajia mtoto walikuwa wote jijini Paris.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents