Picha
Kimbuga kikali chaipiga Haiti na kusababisha uharibu mkubwa
Waokoaji wanahangaika kuyafikia maeneo ya Haiti yaliyoharibiwa vibaya na kimbunga kikali kilichoipiga nchi hiyo.
Uharibifu uliosababishwa na kimbunga hicho kilichopewa jina ‘Hurricane Matthew’ umesababisha kuahirishwa kwa uchaguzi wa rais ambao ungefanyika mwishoni mwa wiki.
Maelfu ya watu wamepoteza makazi yao na walau kumi wamekufa.