Burudani

Kiss Daniel aonyesha mjengo wake mpya

Ikiwa ni siku chache zimepita tokea msanii wa kutoka lebo ya Fly Boy, Kiss Daniel kumuonyesha mpenzi wake Chidinman katika mtandao wa kijamii wa Instagram, Danel ametumia mtandao huo kuonyesha mali yake anayomiliki.

Kiss ameoyesha  picha ya mjengo huo wa ambao ni wapili kununua tokea miaka mine iliyopita. Mjengo huo mpya wa staa huyo upo mjini Lagos, Nigeria.

Boss huyo wa Fly Boy ameonyesha picha ya nyumba hiyo kupitia mtandao wa Instagram na kuandika.

 “All thanks to GOD Bought my second house in Lagos from @thehavenhomes just 4years into the business, I want to say a huge thank you to my FANS. I pray we all succeed just the right way amen #FBI #Havenhomes”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents