Studio ya Kiumbe Record hivi sasa ipo kwenye matengenezo kutoka kwenye kile ‘chumba kidogo walichokuwa wakikitumia zamani, na kuhamishia studio hiyo kwenyechumba kingine kikubwa kwaajili ya kutoa nafasi kwa wasanii wanaokuja kufanya kazi zao hapo studioni.
Producer wa studi hiyo Masoud hiyo amesema hivi sasa anahitaji chumba hicho kiwe na nafasi nzuri na kubwa, ilikuweza kufanya kazi wa hari nzuri na kuptengeneza vitu vizuri zaidi.
Kama kawa kama dawa mafundi bado hawajapagawa na kazi inakuwa sawa, ndivyo waklivyo wana wanavyoendelea na kazi yao hiyo ya kutengeneza studi… eti wamesema na wao wasaniii na sio mafundi pekee.
Kazi ina umuhimu sana ila hata picha nayo ni muhimu kwa yukumbusho wa kazi, ikabidi wakusanyike kwaajili ya Kuwa-Photo-a…… By Mo One’s