Habari
Kiyabo atoka CCJ na kujiunga CCM
Katibu Mkuu wa CCM, Yussuf Makamba, akimtamkabidhi kadi ya CCM aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha CCJ, Richard Kyabo, baada ya kutangaza kujiunga na CCM, katika ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba, Dar es Salaam, leo. (Picha na Chachandu Daily).