Michezo
Klabu ya Chelsea ya msajili huyu beki wa kati kutoka New York Red Bulls ya Marekani
Klabu ya Chelsea ya Uingereza January 30 imefanya usajili wa beki wa kati Matt Miazga, baada ya kumkosa beki wa Everton John Stones imesha jaribu kuomba kumsajili kutokea klabu yake ya Everton kwa zaidi ya mara tatu licha ya kujitahidi kuongeza dau mara kadhaa lakini haikufanikiwa.
Chelsea imetangaza kumsajili beki huyo wa kati kutoka klabu ya New York Red Bulls ya Marekani Matt Miazga, amesaini mkataba wa miaka minne na nusu wa kuitumikia klabu ya Chelsea, Chelsea inaonekana inatafuta mrithi wa John Terry kwa miaka ya baadae.