Michezo
Kobe Bryant atangaza kustaafu kikapu
Mchezaji nyota wa kikapu nchini Marekani, Kobe Bryant ametangaza kuwa atastaafu baada ya kumalizika kwa msimu unaoendelea.
Akiwa na Lakers, Kobe ameisaidia kuchukua ubingwa mara tano.
Ametangaza taarifa hiyo kupitia barua aliyopa kichwa cha habari ‘Dear Basketball.’
“This season is all I have left to give. My heart can take the pounding. My mind can handle the grind but my body knows it’s time to say goodbye. And that’s OK. I’m ready to let you go,” imesomeka sehemu ya barua hiyo.
Katika historia ya kucheza mchezo huo, Bryant amefunga points 32,000.