Michezo

Kocha Louis van Gaal amtetea Fellaini, akerwa na Smalling

Manchester United imejikuta ikiindelea kuwa wanyonge wa Manchester City baada ya kukubali kipigo cha 1-0 katika mchezo mkali uliofanyika katika uwanja wa Etihad, Jumapili, goli lililofungwa na Sergio Aguero dakika ya 63.

1414978359119_wps_27_MANCHESTER_ENGLAND_NOVEMB

1414978359124_wps_28_Manchester_United_s_Chris

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amemlaumu beki wake Chris Smalling kwa kitendo cha kutolewa akidai kilikuwa cha ‘kijinga’.

1414978359130_wps_29_Manchester_City_v_Manches

Smalling alitolewa kabla ya mapumziko kwa kupewa kadi mbili ya kwanza kwa kuzuia mpira wa mlinda mlango wa Man City, Joe Hart, ya pili ni kwa kumkaba vibaya James Milner. “Kwenye mechi kama ya dabi lazima uwe makini kadi ya pili ya njano ilikuwa ya kijinga, “ Van Gaal aliiambia BBC Sport.

Kwa upande mwingine Van Gaal alitokea kumtetea Marouanne Fellaini baada ya kiungo huyo kuonekana akimtemea mate Sergio Aguero.

1414978359077_wps_22_Marouane_Fellaini_of_Manc

“Televisheni ilimuonyesha akipiga kelele, na wakati mwingine ukipiga kelele unaweza kutokwa na mate kidogo” alisema kocha huyo lakini picha zinaonyesha Fellaini raia wa Ubelgiji akimtemea mate Aguero wakati akimlaumu kuwa alijiangusha.

Lakini picha zimebadili mchezo huo na huenda Mbelgiji huyo mwenye asili ya kiarabu akakumbana na adhabu ya FA.

1414999648577_wps_3_NOT_INCLUDED_IN_ONLINE_DI

1414999713242_Image_galleryImage__NOT_INCLUDED_IN_ONLINE_D

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents