Michezo

Kocha mpya Yanga, Zlatko Krmpotic

Mabingwa wa Kihistoria wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara, Timu ya Wananchi, Vijana wa Jangwa @yangasc wamemtangaza Rasmi kocha wao mpya, Zlatko Krmpotic

Zambia : Zesco United hire Serbian National Krmpotic as Coach

Zlatko Krmpotic ambaye ni raia wa Serbia ametangazwa hii leo na #yangasc hii leo siku ya Ijumaa ya tarehe 28 Agosti 2020.

Inadaiwa amejiunga na Yanga kwa kandarasi ya miaka miwili akitokea Polokwane City ya Afrika Kusini.

Kocha huyo anaonekana kuwa na mafanikio makubwa kunako soka la Afrika wakati rekodi yake inaonyesha amewahi Kutwaa Ubingwa wa Michuano ya Klabu Bingwa Afrika akiwa kocha msaidizi TP Mazembe 2015.
#Bongo5Updates

IMEANDIKWA NA HAMZA FUMO, INSTAGRAM @fumo255

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents