Michezo

Kocha wa England baada ya kutolewa Euro 2016 ametangaza kujiuzulu

Kocha wa timu ya taifa ya England Roy Hogdson ametangaza kujiuzulu kuifundisha timu ya taifa England, kutokana na kupoteza mchezo wao wa 16 bora dhidi ya Iceland taifa lenye wakazi wasiozidi 330,000 huku ikiwa nafasi ya 34 kwenye viwango vya FIFA, kwa kufungwa goli 2-1, England walianza kupata goli la uongozi dakika ya 4 kwa mkwaju wa Penati kupitia kwa Wayne Rooney.

35BC53AE00000578-3662916-image-a-41_1467063156986

Dakika mbili baadae baada ya England kupata goli la uongozi, Iceland walisawazisha kupitia kwa Ragnar Sigurdsson dakika ya 6 na Kolbeinn Sigposson dakika ya 18.

Roy Hodgson ametangaza uamuzi huo wa kujiuzulu kuendelea kuifundisha England, ikiwa ni siku tatu zimebakia mkataba wake umalizike.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents