Michezo
Kocha wa Simba aulizwa kama Mnyama anao ubavu wa kuchukua Ubingwa huo mara 10 mfululizo (+Video)
Kumekuwa na kauli za hapa na pale kuwa Simba SC imejipanga kuchukua Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara mara 10 mfululizo bila kuwaachjia wengine nao kulitwaa jambo ambalo Kocha, Sven Vandenbroeck amelitolea ufafanuzi baada ya kuulizwa swali hilo na Mwandishi wa Habari