Burudani
Kokoro yangu ni kali kuliko ya Diamond na Rich Mavoko – Mkaliwenu (+video)
Mkekeshaji na msanii wa muziki, Mkaliwenu amefunguka kuhusu ngoma yake mpya Kokoro’ kwa kudai ni kali zaidi ya ile ya Rich Mavoko na Diamond. Pia aeleza utofauti uliopo katika ya ngoma hizo mbili.