Habari
Korea Kusini wamchagua Rais wao
Raia wa Korea Kusini siku ya leo wanapiga kura kumchagua Rais mpya ambaye atachukua nafasi ya Park Geun-Hye, aliyepatikana na makosa ya kushtakiwa kwa madai ya ulaghai.
Moon Jae-in wa chama cha Liberal, amesema kuwa angependa kuimarisha uhusiano na Korea Kaskazini. Ahn Cheol-soo akiwa mpinzani mkubwa kwa Moon Jae-in, yeye anapingan na Bwana Moon.
Uchaguzi huo wa Korea Kaskazini, unaangaliwa wakati nchi hiyo ikiwa kwenye tatizo la kiuchumi .
Uchaguzi huo unakadiriwa kuwa na idadi kubwa ya watu watakaojitokeza,huku idadi kuwa ikitarajiwa kuwa vijana ambao watachagua rais kati ya wagombea 13.
Na Laila Sued