KTMA 2015: Red Carpet na ndani ya ukumbi ( Picha)
Tazama mastaa na wadau wa muziki walivyopendeza kwenye red carpet ya tuzo za KTMA 2015 zilizofanyika, Mlimani City jijini Dar es Salaam, June 13.
Ommy Dimpoz akiwa na team yake
Barnaba Elias na Dullah wa Planet Bongo
Christian Bella akiwa na Dulla
Dullah Ambua akiwa na Nyoshi El Sadat
Dullah wa Planet Bongo akiwahoji Navy Kenzo
Faiza Ally alitia fora kwa nguo hii
G Lover aka Guru akiwa na mtu wake wa karibu
Jokate Mwegelo akiwa na meneja wa Alikiba, Aidan
Jokate Mwegelo akiwa na team Kiba
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ((Katikati)
Mrisho Mpoto akiwa na Christian Bella
Mtangazaji wa Clouds FM, Perfect Crispin akiwa na mrembo
Nancy Sumari akiwa na Luca Neghesti
Dullah akiwahoji Ommy Dimpoz na timu yake
a href=”http://bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/Zamaradi.jpg”>
Zamaradi