Habari
Kule kwetu Uganda shida kubwa ni kulala, walikuwa wamezoea maisha ya kufanya shughuli za chakula – (+Video)
“Kule kwetu Uganda shida kubwa ni kulala, walikuwa wamezoea maisha ya kufanya shughuli za chakula walikuwa hawajui shughuli za kuleta pesa, kama mnavyojua Uganda ina rutuba ina maji lakini watu walikuwa wamelala”- @KagutaMuseveni