Burudani

Alikiba azungumzia wimbo aliofanya na Navy Kenzo

Alikiba amezungumzia wimbo mpya aliofanya pamoja na kundi la Navy Kenzo.

kIBA

Akiongea Ijumaa hii kwenye Friday Night Live ya EATV, Kiba alisema:

“Yeah nimefanya kazi na Navy Kenzo na ni wimbo wa pamoja nina imani ni kazi ambayo itafanya vizuri ikitoka. Na pia Abdu Kiba anaachia wimbo wake siyo muda mrefu halafu baadaye kuna wimbo utakuja wa mimi na Abdu Kiba. Mashabiki wasubiri tu kazi. Na pia baadaya ya Mwezi wa Ramadhan nategemea kufanya Aje Tour Mungu akipenda,” alisema Alikiba.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents