Mahojiano
Kundi la TNG Squad larudi kwa kishindo, Wampongeza Harmonize kwa hili “TID na Juma Nature mungu awabariki sana” – Video
Kundi la TNG Squad larudi kwa kishindo, Wampongeza Harmonize kwa hili "TID na Juma Nature mungu awabariki sana" - Video
Kundi la muziki la TNG SQUAD ambalo lilisifika kutoka mkoani Tanga lililotamba na ngoma mbili kubwa #Bongo.com na #Ring on it kuanzia mwaka 2005 limerudi kwa kishindo.
Wakipiga stori na Bongo5 wasanii wanaounda kundi hilo ambao ni TINYE @nas_wakitaa pamoja na Mr G one wamefunguka kilichowapoteza kwenye ramani ya muziki wa Bongo Fleva. TNG SQUAD pia wameachia ngoma mpya KARATA na wanawaomba Watanzania kuwasapoti kwa mara nyingine.
By Ally Juma.