Burudani
Juma Sharobaro afunguka kuhusu ndoa, umri wangu ni kama sura yangu (+Video)
Msanii mpya wa muziki, Juma Sharobaro amefunguka kuhusu kushiriki katika tamasha la BSS, akizungumza na Bongofive msanii huyo chipukizi amegusia aina ya mwanamke ambaye angependa kumuoa siku moja muda ukifika wa kufanya hivyo.