Burudani
Lady Jaydee afunguka kuhusu ndoa na kurudisha tena Nyumbani Lounge (+Audio)
Malkia wa muziki wa Bongo Fleva, Lady Jaydee ameweka wazi kuhusu kuolewa na mpenzi wake Spicy na pia amefunguka kuhusu mipipango yake ya kuirudisha upya mgahawa wake wa Nyumbani Lounge.