Burudani

Lady Jaydee atangaza kutoa zawadi nono kwa mashabiki wake

Mlidhani amemaliza? Bado kidogo, Lady Jaydee ameandaa zawadi nono kwa mashabiki wake baada ya kimya cha takribani miezi mitano.

Baada ya malkia huyo wa Bongo Flava kuachia ngoma mpya ‘I Miss You’ wiki hii huku akitarajia kuachia video Ijumaa hii, ameamua kutoa zawadi ya simu aina ya Tecno Camox CX kwa ajili ya mashabiki wake.

Jinsi ya kushiriki ili kushinda zawadi hiyo.

1. Pakua “I Miss You” kupitia app ya Boomplay Music
2. Chukua screenshot na post kwenye profile yako
3. Nitag mimi @jidejaydee na @boomplaymusic_tz
4. Usisahau kuweka hashtag #BoomJide

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents