Burudani

Lady Jaydee kujenga nyumba tano mwaka huu

Lady Jaydee amedai kuwa mpaka mwaka 2015 unaisha atakuwa amejenga nyumba tano.

10600440_10152397580155025_3089616640975218274_n

Akizungumza kwenye kipindi cha Diary ya Lady Jaydee cha EATV wakati alipotembelea baadhi ya viwanja vyake, muimbaji huyo alisema wake ni kuhakikisha ndani ya mwaka huu anakamilisha ujenzi wa nyumba tano.

“Kiwanja cha kwanza kilishamalizwa kufyekwa sasa tunahamia kiwanja cha pili kwa sababu malengo ni kumaliza nyumba tano mpaka itakapofikia mwisho wa mwaka 2015, kwahiyo kazi ndo imeanza,” alisema.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents