Burudani

Lebo ya Kaka Empire ya King Kaka yamsaini producer tishio Kenya

Lebo maarufu ya muziki nchini Kenya, Kaka Empire inayomilikiwa na King Kaka imemsaini mtayarishaji wa muziki maarufu nchini humo, Jack Jack On The Beat.

Mmoja wa viongozi wa lebo hiyo, ameiambia Bongo5, Jack atakuwa ndio mtayarishaji mkuu katika studio ya Kaka Empire Studios.

Naye mtayarishaji huyo baada ya kusaini mkataba huo amesema, “Kujiunga na Kaka Empire ni uamuzi bora zaidi ambao nimeufanya mwaka huu. Wakati fulani katika maisha mtu unatakiwa kujiunga na timu ya kushinda.”

Jack ameshawahi kutayarisha ngoma kibao kali ikiwemo Tippy Toe, Bazokizo, Zigwembe, Sema Ng’we na nyingine.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents