Michezo

Leeds United yathibitisha kuingia kandarasi na kocha Marcelo Bielsa

Klabu ya Leeds United imethibitisha kuingia kandarasi ya miaka miwili na Muargentina, Marcelo Bielsa ya kuifundisha timu hiyo.


Klabu hiyo imekuwa kwenye harakati za kutafuta kocha mpya atakaye weza kurithi mikoba ya Paul Heckingbottom aliyetimuliwa kazi tangu tarehe moja ya mwezi Juni baada ya kuiyongoza timu hiyo kwa muda wa miezi minne ndani ya Elland Road.

Muargentina huyo amewahi kufundisha timu ya Chile pamoja na klabu nyingi za barani Ulaya kama Athletic Bilbao, Marseille na Lazio.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents