Michezo
Leo ndiyo Leo
Leo ndiyo leo mahasimu wawili Simba na Yanga leo wanakutana kwenye viwanja vya Taifa kwenye LIGI Kuu ya soka Tanzania Bara, leo kwa mara ya kwanza tangu kuanza msimu inafikia hatua tamu. kama waswahili wanavyosema mwamuzi ni dakika tisini, na wala si maneno matupu…